Amber Ruty Amvaa Tena Jackline Wolper.

Mwanadada Amber Ruty amemvaa jackiline wolper na kuanza kumtolea kashfa mwanadada huyo kwa madai kuwa hawaendani hata kidogo wala hawawezi kulinganishwa kwa kitu chochote.

Amber Ruty ambae aliwahi kusikika mara ya kwanza baada ya kupiga picha za utupu na kuziweka katika mtandao wa kijamii na ndipo ackline wolper alipoamua kufunguka kukwera na tabia hizo huku akimtolea mfano mwanadada huyo.

download latest music    

Hata hivyo reaction ya Amber ruty baada ya wolper kumsema kwa tabia ya kupiga picha hzio za ajabu ikawa ni matusi an dharau pia.hata hivyo mwanadada huyoa likuwa ametulia kwa muda na sasa ameibuka tena na kumtukana tena Wolper.

Akiulizwa na waandishi wa habari kuhusu mwisho wa bifu lake na Wolper . Amber Rutty alijibu ‘niliamua tu kumpotezea nilimuona mshamba tu na alikuwa anatafuta kiki kupitia mimi.ni mshamba sana hana hadhi ya kugombana na mimi wala kunifatilia mimi namuona mshamba tu.”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.