Aslay amefunguka sababu iliyomfanya ahame kutoka nyumba ya Mkubwa na Wanawe

Image: Aslay

Aslay amekubali kuwa alihama kutoka nyumba ya Mkubwa na Wanawe, ambapo akiishi na Waimbaji wenzake wa Yamoto band.

Akizungumza katika kipindi cha ‘On The Eight’ cha TVE Aslay alieleza kuwa hakuwa na tatizo yoyote na mtu na kilichomsababisha kuhama ni kwa sababu ya familia yake.

download latest music    
Aslay

Kulingana na yeye, amekaa muda mrefu mbali na familia yake na ndio maana aliamua kuwafuata . Anahofia akiendelea kukaa mbali nao hataweza kuwa karibu nao kama zamani.

Hata hivyo amekana maneno ambayo yanasambazwa mitandaoni. Hata hivyo, kwa hivi sasa amepanga kujibrand yeye mwenyewe na kuachia nyimbo zake mwenyewe.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua