Aslay Ampiga Marufuku Mke Wake Kuuza Sura .

Msanii anaefanya vizuri  hivi na vibao vyake kibao kikiwepo cha subakheri alichoimba na Nandy , Aslay amefunguka na kuonnhgelea uamuzi wake wa kumpiga marufuku mzazi mwezie kuwa anaonekana katika mitandao ya kijamii na kuuza sura.

Aslya amesema kuwa kwa sasa mwanamke wake hatakiwei kuonekana wala kujihusisha  na kuuza sura katika sehemu mbalimbali kwa sababu tayari ana kazi nyingine inayomuingizia kipato lakini pia yeye sasa ni mzazi na ana mtoto wa kulea kwaio hataki kumuona akiuza sura tena.

download latest music    

Akiongea kwenye FNL, Aslay amesema kuwa mzazi mwenzie huyo anaejulikana kama Tessy Chocolate alikuwa ni video vixen , lakini kwa sasa hawezi kuendelea na kazi hiyo kwa sababu kile alichokuwa akikitafuta katika kazi hiyo tayari ameshampatia.

hawezi kuendelea mimi ndio nimesema hawezi kuendelea,sidhani kama sasa hivi anapedna tena kufanya hiyo kazi, kwa sababu mara nyingi yuko na mtoto lakini pia kuna kitu nimempatia anafanya pia kinachomuingizia ela na kwasababu kule alikuwa anatafuta ela.-Alifunguka Aslay.

Lakini pia alikanusha tetesi za kuwa waliachana na mama mtoto wake na kusema kuwa taarifa hizo sio za kweli.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.