Aslay Apiga Show Ukumbi Ukiwa Mtupu London (+video)

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Aslay Isihaka amejikuta akipatwa na fedheha baada ya shoo yake aliyopiga nchini Uingereza kukosa mashabiki.

Aslay ambaye alisafiri kwenda nchini Uingereza mwezi uliopita mwishoni ambapo alienda kupiga shoo yake.

download latest music    

Kupitia ukurasa  wake wa Instagram Aslay aliitangaza shoo hiyo kwa kuweka picha hii:

Kwa kuwa Aslay ni mmoja kati ya mastaa ambao wanafanya vizuri sana Kwenye Bongo fleva alitegemewa kupata mapokezi makubwa nchini humo Lakini cha kushangaza ni shoo viti aliyoipiga.

Aslay sio Msanii wa kwanza kutoka Bongo aliyepiga shoo tupu nchini Uingereza kwani mapema mwezi huu Msanii mkongwe Ray C naye alisemekana kukosa mashabiki katika shoo yake nchini humo.

Wasanii ambao wamekuwa wakijulikana kwa kujaza sana shoo zao za nje ya nchi ni pamoja na Ali Kiba na Diamond.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.