Atakachofanya Nikki wa Pili Akipata Uwaziri
Msanii Nikki wa Pili ambae siku zote amekuwa mstari wa mbele kuandika falsafa zake kuhusu maslahi ya wasanii anasema kuwa ili wasanii watambue kuwa wanafanyaje kazi ni lazima pia serikali itambue wasanii wanafanyaje kazi na wanapataje faida ili kuendelea kulinda maslahi yake na kama wanalinda wajue kuwa wanalinda kitu gani.
Baada ya hapo kinaweza kuanzishwa chama cha wasanii wafanyakazi ambacho kitakuwa kina angalia jinsiwasanii wanavyofanya kazi na kuaidia kudai maslahi mbalimbali ya wasanii kwa kuandaa sheria taratibu na kanuni zitakazomsaidia msanii.
kubadilisha sanaa kuwa biashara hicho ni kitu kingine,so ni wajibu wa msanii kujifunza misingi ya biashara kwamba hiki nilichonacho mkononi ninawezaje kukiuza, ukinipa uwaziri kitu cha kwanza kukifanya ni kufanya utafiti kuhusu biashara ya muziki.
kujua hii biashara inafanyikaje, uhakisia wake ni upi na uhaliia wake unatengeneza picha gani,then kutoka hapa tunawezaje kwemda mbele bila kutafiti kwa facts itakuwa ni blah! blah!