Aunty Ezekiel Ajibu Tuhuma Za Kumlipizia Kisasi Wema

Muigizaji wa Bongo movie Aunty Ezekiel amejibu tuhuma ambazo zinemuwndama baada ya kutoonekana katika sherehe ya shoga yake mkubwa Wema Sepetu.

Gazeti la zamani linaripoti kuwa watu wa karibu wa Aunty wamedai Msanii huyo hakufika Kwenye Sherehe kwa ajili kumlipizia kisasi Wema ambaye hakufika Kwenye hafla yake siku za nyuma na sio k amna nguo yake kiharibika kama alivyosema mwanzoni.

download latest music    

Hakuna cha nguo kuharibiwa wala nini sema Aunt kaamua kumlipizia kisasi Wema kwa sababu naye hakuenda kwenye uzinduzi wa filamu yake iitwayo Mama,” 

Baada ya Tuhuma hizo Aunty aliyafutwa na gazeti hilo na alifunguka na kusema:

Sikuwa na sababu yoyote ya kunifanya nishindwe kufika kwenye sherehe ya Wema kwani nimeshirikiana naye hatua zote lakini kilichonikuta ndiyo hicho cha nguo na wala sijamlipizia chochote.

Kwangu alichelewa tu na mwisho tulionana na picha alipiga, watu wanafananisha tukio la Idris ndiyo fundi alimharibia nguo Wema hakufanikiwa kufika”.

Wema alipotafutwa alifunguka na kusema anaamini Aunty hakufika kwa sababu ya dharura na sio kingine:

Aunt aliniambia kuwa hatoweza kufika kwa kuwa amepata dharura lakini tulishirikiana katika kila kitu sasa anilipizie kisasi kwani mimi nina tatizo naye jamani! Dharura ni kawaida kwa binadamu na nilimwelewa”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.