Aunty Ezekiel na Tunda Ndani ya Bifu Kali Warushiana Matusi ya Nguoni

Muigizaji wa Bongo movie Aunty Ezekiel amejikuta katika vita kali ya maneno na mrembo Tunda baada ya kupishana kuhusu malipo ya pesa ya pombe ambayo Tunda alikopa.

Siku ya Jana Warembo hawa waaili waliingia kwenye mabishano makali kwenye mtandao wa Instagram baada ya Aunty Ezekiel kwenda kwenye ukurasa wa Tunda na kumdai pesa yake kiasi cha laki moja alichochukua pombe ya Belaire.

download latest music    

Ambapo kwenye ukurasa wa Tunda Aunty Ezekiel aliandika maneno haya:

Baada ya Aunty kumuandikia vile inaelekea Tunda hakupenda kabisa kwani mara moja alianza kutokwa na povu kueleza kuwa alimpa pesa Mose Iyobo huku akimuita kiben-10 na kumtuhumu kwa kuitumia pesa ile. Hili ndio lilikuwa povu la Tunda:

 Uzee unakujia vibaya we we Bibi Mdashi na Una lako jingine nje ya pombe jibu ni lile lile ongea na Ben-ten wako akueleze pesa alipopeleka”.

 

 

Lakini habari chini ya kapeti zinafai kuwa kilichotokea ni kwamba Aunty Ezekiel anafanya biashara ya kuuza hizo pombe za Belaire sasa Funds alimpa ofa Diamond ya hiyo chupa moja ambayo ni laki moja kwa kipindi hiko Diamond na Tunda walikuwa wapenzi sasa baada ya Tunda kumuona juzi Diamond yuko na Wema na kusikia wamerudiana alikasirika na kugoma kumlipia tena ile pombe aliyompa ofa na hapohapo ndipo kizazaa zaa kilipoanza rasmi na wao kuja kurushiana maneno mtandaoni.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.