Aunty:Mose Hashangai Picha Zangu za Uchi.

Msanii wa bongo movies na mjasirimali Aunty ezekie marufu kama Mama cookie amefunguka na kusema kuwa mzazi mwenzie huwa hashangai waa kushtuka na picha za nusu uchi anazokuwa anapiga kwa sababu anajua kabisa ni za matangazo na zipo kwa ajili ya kutangaza biashara.

Aunty Ezekiel ambae amekuwa katika mahusiano na moja ya madancr wakubwa tanzania kutoka kundi la wcb amesema kuwa  hata mara nyingi picha hizo anazokuwa anapiga zenye kumuonyesha yuko uchi zinakuwa znapigwa na mume wake huyo akiwepo kwaio haina madhara yoyote kwa sababu anakuwa anajua kitu anachokifanya ni kwa ajili ya biashara.

download latest music    

Iyobo hawezi kushangaa hata siku moja kuona picha ninaopiga na kuziweka katika mitandao kwa sababu anajua ni za matangazo,anajua kabisa kuwa ni za matangazo na ni kazi kwaio haina shida  na kuna muda mwingine hata yeye mwenyewe anakuwepo na anakuwa anatoa kabisa ushauri  na mawazo kuwa zinapigwaje.

Picha hizo tata za aunty ezekiel amekuwa akiztupia katika mitandao ya kijamii kwa kutangaza biashara yake ya sabuni ya murua mabapo baadhi ya mashabiki walitaka kumuonya mwanadada huyo kaucha kuweka picha hizo ili yasije yakatokea yake ya wasanii wengine waliofungiwa kazi zao.

 

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.