AY Ajivunia Kuwa Moja ya Wasanii Waaminifu Sana
Msanii wa siku nyingi katika game ya muziki Ambwene Yesaya mabe siku zote amekuwa na mafanikio lakini anatajwa kuwa moja ya wasanii ambao wanaweza kutao msaada na sapoti kwa msanii mwingine na wala asitake kujulikana kwa kile alichokifanya amefunguka na kusema kuwa anajivunia kuwa moja ya wasanii wanaoweza kusemwa kuwa na uaminifi mkubwa sana.
Ay anasema kuwa siku zot yeye hajawahi kufanya manejement ya msanii yoyote lakini inapotokea msanii anataka usaidizi kwa nchi au msanii anaemjua ufanya kile anachoweza ili kufanikisha swala hilo.
Akitolea mfano, AY anasema kuwa aliwahi kuwasaidia wasanii kutoa Nigeria P-Square kwenda nchi ambayo hawakuwahi kwenda lakini aliwatafutai watu anaowajua katika nchi hiyo na hata kufanya show yao na kupewa pesa yao na kutengeneza mashabiki katika nchi hiyo.
niliwahi kuwapa mchongo p-square walikuwa na show burundi lakini hawakuwa na mwenyeji , kwaiyo mimi nikawaunganisha na mtu akasimamia kila kitu, kwaio mimi nilikuwa kama bask stage na jamaa wakafanya show na wakapewa mzigo wao.