Ay kufungua Kampuni kwa Jina la Mtoto Wake wa Kwanza.

Msanii mkubwa na mkongwe mweny mafanikio ya chinichini ambwene yesaya ametangaza kufungua kampuni ya usafirishaji huku ikiwa na jina la mtoto wake mpya  wa kiume wa kwanza tangu alipofunga ndoa na mwanamke wake kutoka Rwanda.

download latest music    

Msanii huyo ambae kwa sasa amekuwa akionyesha mafanikio yake sana hasa kupitia kufanya vitu mbalimbali vinavyohusiana na baishara, aliweka tangazo hilo katika ukurasa wake wa instagram huku akisema Coming soon.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.