Baada ya Kuachana na Heri muziki, Diva Akiri Kupata Usumbufu Mwingi.

Mwandada asiyeishiwa kuwa na drama katika mitandao ya kijamii , Diva the Bawse amefunguka na kusema kuwa tangu alipoachana na mpenzi wake aliekuwa nae katika mahusiano hivi karibuni, Diva the bawse amekuwa akipata usumbufu sana kutoka kwa wanaume mbalimbali.

Diva amesema kuwa kwa mwezi amaweza kubadili line ya simu hata mara saba kwa sababu tu wanaume wamekuwa ni wengi sana wanaomtaka kimaoezni na kumtumia sms ili waweze kuwa nae hivyo kwa kuepuka usumbufu muda mwingine inabidi aamue kubadilisha lin eya simu.

download latest music    

Maisha ya kuwa single ni mazuri, ingawaje kwa sasa nimekuwa nikipata usmbufu mkubwa sana,yani ninapata ssms hata 2000 na zote zinakuwa ni kutoka kwa wanaume,kitu ambacho kinnipa wakati mgumu sana na kunifanya nibadili line ya simu hata mara saba kwa mwezi.

Diva anasema kuwa ukiachana na upande wasimu lakini pia hata katika ukurasa wake wa instagram upande wa dm, lakini diva ameongezea na kusema kuwa maeshapata mwanaume ambae atakuwa baba wa mtoto wake kwa hivi karibuni ingawa amekataa kumuweka wazi mwanaume huyo kwa sasa na kusema kuwa bado mapema sana.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.