Baada ya Kukosana na Diamond, Zari Apeleka Watoto Kanisani.(video)

Mwanamama aliyebahatika kupata watoto wawili na msanii mkubwa Tanznaia  Diamond Llatinumz ameonekana akiwa kanisani  na watoto wake wawili ambao amezaa na msanii huyo.maswali yamekuwa mengi baada ya video hiyo kuvuja na kuacha maswali mengi kuwa inawezekana ndio ukawa mwisho wa mawasiliano katika ya Zari na Diamond na kuachanishwa kwa watoto wake.

Maswali yamekuwa mengi kwa sababu msanii Diamond ni wa dini tofauti hivyo kama Zari anataa kuwafunza dini watoto hao basi ilipaswa kuwapeleka msikitini kama dini ya baba yao inavyotaka lakini zari ameonekana katika video hiyo akiwa kanisani tena watu wakisifu na kuabudu.

download latest music    

 

Hivi karibuni Zari na Diamond wamekuwa wakitupiana maneno katika mitandao ya kijamii huko zari akionekana kuumizwa zaidi na matendo ya mzazi mwenzie hyo kwa tetesi kuwa diamond amekuwa na uhusiano na mwanamke mwingine tena tofauti na wale wa nyuma mwanamama huyo aliyekuwa nao.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.