Baada ya Kuwasili Kutoka India, Mh Mwakyembe Amtembelea Mzee Majuto
Waziri wa habari,tamaduni na michezo Mh Harrison Mwakyembe amekwenda kumtembelea msanii mzee majuto ikiwa ni sikumbili tu tangu alipotua kutoka nchini India alipokwenda kwa ajili ya matibabu zaidi.Hata hivyo Mh Mwakyembe amempa moyo na kumsisitizia sana Mzee Majuto kuwa serikali ipo pamoja naye kipindi chote cha matibabu yake.