Baada Ya Video Ya Utupu Nandy na Billnas Waamua Kuwa Kaka na Dada

Mwanamuziki wa Bongo fleva kutoka THT Nandy na aliyekuwa Mpenzi wake msanii mwenzake Billnas wameamua kuweka chuki na uadui pembeni na kuwa koa na dada.

Wiki chache zilizopita Nandy na Billnas wali trend vibaya mno baada ya video yao ya ngono kuvujishwa kwenye mitandao ya kijamii na kusababisha kizaazaa.

download latest music    

Baada ya video hiyo kuvujishwa Kwenye mitandao ya kijamii kila mmoja alianza kumbyooshea kidole mwenziye kwani Billnas alidai aliyerekodi ile video ni Nandy na sio yeye kwaiyo aliyeivujisha hakuwa yeye lakini na Nandy naye alikataa kuvujisha video ile.

Lakini hatimaye tangu sakata hilo litokee Nandy na billnas wameamua kuweka pembeni tofauti zao na Kusonga mbele na wameamua kuwa kaka na dada.

Jana Nandy aliachia ngoma yake mpya inayoitwa Ninogeshe na Billnas alikpa sapoti kwa kuposti kwenye ukurasa wake wa Instagram na kumuita dada yake na Billnas naye alimuita kaka.

 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.