Baada Ya Video Yao Ya Utupu Kuvuja Mtandaoni Nandy na Billnas Watupiana Lawama

Mwanamuziki wa Bongo fleva Nandy na rapa Billnas jana walitengeneza headlines za mitandao ya kijamii kwa kazi ya ajabu baada ya video yao ya ngono kuvuja mtandaoni.

Video hiyo iliwaonyesha wakiwa chumbani faragha nusu utupu wakifanya yao hali iliyomuonyesha taharuki kwa mashabiki zao.

download latest music    

Baada ya video ile kuvuja kila mmoja ameanza kumnyooshea kidole mwenzake kuwa anahusika na kuvujisha video hiyo.

Nandy amefunguka haya kuhusiana na kuvuja kwavideo hiyo:

Nilikuwa na mahusiano na Bill Nass mwaka 2016, nilikuwa na mahusiano na Bill Nas na tulikubaliana iwe siri, sasa sielewi kwa sababu gani kaamua kuvujisha, nimesikitishwa sana, ni video ambayo ilishutiwa kwa snapchat, sasa sielewi aliipataje hiyo video kwani ni lazima nimrushie ndio aipate, sijui niseme nini, Naomba radhi sana kwa familia yangu, kanisani kwangu, mashabiki serikali yangu kwa kweli video imenichefua sana mpaka hapa ninapoongea nimechefuka, ila adhabu ya maumivu ninayoipata sasa hivi ni kutokana na kumuamini mwenzangu”.

Billnas na yeye amemgeuka Nandy na kudai Nandy ndio anahusika nakuiweka video ile mtandaoni kwani yeye ndio aliichukua kwa simu yake na hakuwahi kumuomba amtumie:

 

Lakini Nandy na Billnas nao wameomba radhi kwa video ile kwani walikana kuwa na Mahusiano kwa kipindi kirefu sana.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.