Baadhi ya Watu Maarufu Waliompongez AY kwa Kufunga Ndoa.

Wikiend hii katika mitandao ya kijamii kulisambaa kwa picha zikionyesha matukio ya msanii wa muziki nchini ambwene yesaya alieamua kuuacha ukapela na kufunga ndoa na mwanamke aliyekuwa nae katika mahusiano kwa muda mrefu aliejulikana kama Remy.Mwanamke huyo aliacha gumzo kubwa katika ktandoa ya kijamii kutokana na uuzri wake alikuwanao lakini pia ni mwanamke msomi kutoka nchini rwanda,

Ingawa ilikuwa ni jambo la ghafla kwa macho ya watanzania kwa sababu ya ukimya wa AY lakini limekuwa ni jambo lakheri kwa msanii huyu  na watu wake wa karibu kutokana na uzito wa jambo lenyewe.wasanii mbalimbali na watu maarufu wamempongeza msanii huyo kwa kumuandikia.

download latest music    

PROFFESA JAY ALIANDIKA;

hongera sana mdogo wangu @aytanzania na mkeo @remyrwanda  kwa hatua hii ya kufunga pingu za maisha mungu awatangulie na kwabariki sana , muwe na maisha mema yenye baraka na furaha tele.

MWANA FA

brother @aytanzania  karibu katika hili chama la watu wazima  wenzio.. mungu awabariki sana wewe na shemeji wa taifa @remyrwanda kwenye muunganiko huu.Goodspeed my G...

DIAMOND PLATINUMZ

Congrats legend ..mwenyezi mungu awajalie maisha mema yenye baraka , furaha na amani tele. @aytanzania.

JOKATE MWEGELO.

hongera sana kwake the legendary hustler,kwa hatua hii muhimu sana katika maisha ya mwanadamu.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.