Babalevo Kizimbani kwa Kumpiga Muuguzi wa Hospitali
Msanii wa muziki wa bongo fleva ambe pia ni diwani wa kata ya Mwanaga Kaskazini katika manispaa ya Kigoma Ujiji , ambae pia amekuwa akiunda kundi la Kigoma all stars,amepandishwa kizimbani leo katika manispaa hiyo kwa kosa la kumpiga muuguzi wa zanahati ya Msufini mkoani humo.
baba levo ambae ukaachama na usanii pia aliamua kujiingiza katika siasa na kugombea udiwani ambapo aliweza kupata cheo hicho , haijafahamika bado ni kitu gani kilichosababisha marumbano kati yake na muuguzi huyo mpaka kufikia hatua ya kumpiga .
Baadhi ya nyimbo alizowahi kuimba msanii huyo ni pamoja na yalayala, mara paap aliomshirikisha Milaard ayo, sherehe aliomshirikisha Queen Darleen n baadhi ya nyingine za kigoma all star.