Babu Tale Ataja Mbadala wa Kazi Yake.

Meneja wa msanii diamond platinumz amefunguka na kuongelea kazi ambayo angeweza kuifanya endapo asingekuwa meneja wa diamond au kujihusisha na kiwanda cha muziki.

Babu tale ameyasema hayo alipokuwa akiongea na waandishinwa habari alipokuwa amehudhuri aktika show kali ya vannesa mdee na jux , tour iliyozunguka mikoani na kumalizawa na jijini Dar.Babu aleanasema kuwa yeye sio mtu wa kutoka sana usiku lakini leo ameona afanye hivyo kwa sababu ya vanesa na jux.

download latest music    

mimi sio mtu wa kutoka lakini nimefanya hivyo kwa ajili ya vanesa na jux, Baraza letu inabidi iangalie  wasanii wanapaswa kulaumiwa wapi au kurekebishwa wapi na kusimamiwa wapi kwa sababu ndio sehemu inayowapa pesa , hivu jiulize kwa mfano mimi nisingekuwa nasimamaia muziki si ningekuwa mganga wa kienyeji mkuyuni huko.

Babu tale amekuwa meneja wa Diamond kwa mudamrefu na kila siku msanii Diamond amekuwa akisema anajivunia sana uongozi wake kutokana na misingi mizuri wanayompa katika muziki na kazi zake.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.