Babu Tale motoni baada ya kumpigia debe mwanasiasa kutoka Kenya

Meneja wa Diamond – Babu Tale amejikuta pabaya baada ya kujiingiza katika siasa ya nchi jirani ya Kenya ambayo itawachagua viongozi wao Agosti 8.

Watu katika mtandao wa Instagram walimvamia Babu Tale baada ya meneja huyo kumpigia debe mwanasiasa – Julius Owino maarufu kama Maji Maji anayewania kiti katika kata ya Embakasi jijini Nairobi.

download latest music    

Maji Maji alikuwa rapa kabla ya kujiunga na siasa, anajulikana kwa hit song yake ‘Unbwogable’ ambayo aliimba na mwenzake Gigi Gidi.

Post aliyoweka Babu Tale kwa Instagram kumpigia debe Maji Maji ilikera watu wengine ambao walimtaka aache kujihusisha na siasa Kenya.

Hafidhplatinumz: Poa poa meneja

vankempes_:Safi

kibugikayzach: Wajuaje mambo ya kenys

misskilungya: U can’t deal with Kenyan politics….. just vanish from them and do music dude…!!

laqwisher: Nchi yako imekushinda ukavamie ya jirani hembu piga kampeni bashite aoneshe vyeti original na piga kampeni haki itendeke rais wako amtumbue bashite na sio Kuwapotosha wakenya wewe huwezi wachagulia kiongozi wakuwafaa na atae watendea haki kama umeshindwa kusimama na watz kung’oa bashite

shikumilcah: @babutale weeee hatari thats my home ground MCA @majimajikenya

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere