Baby Madaha- Napenda Sana Kufanya Tendo La Ndoa

Msanii wa muziki wa Bongo fleva aliyewahi kutamba na vibao vikali kama vile ‘Amore’ amefunguka na kudai anapendelea sana kufanya tendo la ndoa.

Baby Madaha ametoa kali hiyo ya mwaka na kuwashangaza wengi baada ya kusema starehe pekee anayoipenda ni kufanya tendo la ndoa na anaweza kufanya hata mara nne kwa wiki.

download latest music    

Kwenye mahojiano na Gazeti la Amani, Baby Madaha alisema tendo hilo huwa anapenda kulifanya mara nyingi zaidi pindi anapokuwa na fedha mfukoni.

Napenda kufanya nikiwa niko vizuri sana mfukoni, akili yangu yote iwe hapo tu yaani kwa wiki naweza kufanya hata zaidi ya mara nne”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.