Baraka Atangaza Kuachana na Naj , Asema Yuko Single.

Msanii wa  bongo fleva kutoka katika lebel ya bana music , Baraka the prince amethibitisha kuachana na mpenzi wake wa siku nyingi Naj  Datan ambae muda mwingi amekuwa akiihsi nje ya nchini.

Katika ukurasa wake wa instagram, Baraka aliweka ujumbe wenye maana kuwa sasa hivi yuko single na hakuna mahusiano kati ayke na mwanamke yoyote kitu kinachofanya kupigia mstari kuwa hayuko katika mapenzi tena na naj.

download latest music    

Ikumbukwe kuwa hivi karibuni kulitokea teesi kuwa msanii huyo Baraka the prince alibadilisha dini ili kufuata dini ya mwanadada Naj, hivyo kama wameachana bado haijajulikana kama msanii huyo atabaki katika dini aliyobadilisha au atarudi katika dini yake.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.