Baraka The Prince Amuumbua Rommy Jones

Msanii wa bongo fleva Baraka The Prince ameshindwa kuvumilia kwa muda mrefu kitedno alichokifanya rommy jones na kuamua kumuumbua katika mitandao ya kijamii.Ingawa barak the prince hakutaka moja kwa moja kusema kile alichokifanya rommy jones lakini siri ilikuja kuvuja na kusambaa katika mitandao ya kijamii.

Katika ukurasa wake wa instagram, Baraka The Prince aliweka picha ya Rommy Jones na kuandika caption hii”unaonekana mwana kumbe pimbi tu,hata hilo vazi uliovaa pia unalitia aibu tu,shenzi typ soon  nakutia aibu jamaa..next post nakutia aibu wack wewe..

download latest music    

hata hivyo baada ya baraka kushindwa kuweka moja kwa moja kosa la rommy, dada yake na rommy anaejulikana kama ladynaha aliamua kuweka wazi picha za meseji ambazo rommy alikuwa akichat na najdattan akiwa anamtongoza.

Picha hizo ndizo zilizosambaa sana katika mitandao na kufanya siri kuvuja na kitu gani kilifanya baraka aandike maneno yale kwa Rommy.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.