Barakah the prince afunguka kuhusu kufeli kwa wimbo wake mpya

Baada ya kuachaia wimbo wake mpya ‘acha niende’ msanii wa bongo Barakah the Prince almefunguka kudai kuwa amegundua kuna vitu kadhaa ambazo zimefanya wimbo wake kutofanya vizuri Kama nyimbo zake za hapo awali.

Akizungumza na kipindi cha Enewz cha EATV Barakah the Prince alisema kuwa aliwachia wimbo wake wakati kulikuwa na mambo mengi yanaendelea. Msanii huyo alisema,

download latest music    
Barakah The Prince
Barakah The Prince

Hali ni ngumu kweli kwa wasanii, nyimbo nyingi ambazo zimetoka hivi karibuni zimeshindwa kufanya kusema kweli hata wimbo wangu haujafikia kwenye malengo ambayo nilijiwekea wakati natoa ai hata nikilinganisha na nyimbo zangu zilizopita.

Hata hivyo amejipa moyo wa kufanya nyimbo zingine hivi karibuni.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua