BASATA Waupiga Stop Wimbo Mpya Wa Sugu

Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limetangaza kuufungia rasmi Wimbo Mpya wa Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu.

Sugu ameachia wimbo huo unaoitwa #219 ambayo  ni namba yake ya kifungo jela alipokaa kwa miezi kadhaa.

download latest music    

BASATA wameufungia wimbo huo huku wakiweka wazi sababu kubwa ni maudhui yake ambayo yanaleta uchochezi katika jamii na kuhatarisha Amani ya nchi.

Mbali na kuufungia wimbo huo, Basata wamemuonya msanii huyo kwa kumtaka kuacha mara moja kuutangaza na kuisambaza ngoma hiyo.

Hii ndio barua rasmi iliyotolewa na BASATA:

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.