Belle 9 Akiri Kunyooshwa na Maisha Ya Ndoa

Msanii wa Bongo fleva Abednego Damian maarufu kama Belle 9 amekiri kabisa kunyooshwa na maisha ya ndoa na kukiri tangu ameoa amebadilika sana.

Belle 9 alifunga ndoa mwaka jana mwishoni lakini mpaka mwaka huu mwezi huu ameshainyoshea mikono juu ndoa.

download latest music    

Belle 9 amefunguka hayo Kwenye mahojiano aliyofanya na Ijumaa Wikienda ambapo amekiri kuwa ndoa imemnyoosha tofauti na alivyokuwa mwanzo kabla ya ndoa:

Kiukweli ndoa imenibadilisha sana kwa sababu maisha niliyokuwa ninaishi kabla ya ndoa ni tofauti kabisa na ya sasa.

Kwenye ndoa kuna vitu vingi nimejifunza, nimekuwa ni mtu mpya katika maisha yangu mapya, kwa sasa ninaangalia zaidi familia yangu kwa jumla.”

Belle 9 yupo Kwenye listi ya wasanii wengi masupastaa kama AY, Ali Kiba ambao wameamua kuukimbia ukapera na kufunga ndoa.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.