Ben Pol Kuweka Mkono Kwenye Kazi za Wasanii Kutoka Kenya

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva Bernard Paul Maarufu kama Ben Pol amefunguka na kuweka wazi kuwa ana mpango wa kufanya kazi na wasanii zaidi ya watano kutoka nchini Kenya.

Ben Pol ambaye anafanya vyema kwa staili yake ya RnB amekuwa aking’aaa sana Kwenye nyimbo za wasanii mbali mbali ambapo amekuwa akifanya vizuri kama mshirikishwaji.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya hivi karibuni na kituo kimoja kikubwa Cha habari nchini Kenya, Ben Pol aliwataja Naiboi na wanamuziki wa kikundi cha Elani kuwa ni kati ya Mastaa kutoka nchini humo walioko katika mazungumzo ya kushirikiana nao katika kazi za muziki.

Ben Pola anafanya vyema na Kolabo yake na Mayan sama Kwenye wimbo unaoitwa ‘Amen’.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.