Ben Pol Nae Akimbilia Nchini Kenya.

Msanii wa muziki nchini, ben pol nae ameamua kufuata nyayo za wasanii wenzake baada ya kuamua kujihusisha na mapenzi na mwanamke kutoka kenya jama alivyofanya Diamond na Alikiba .

Wasanii wengi wa watanzania hasa wa kiue wamekuwa wakijiingiza na mahusiano na wasichana kutoka nje ya nchi hasa Kenya na Uganda huku wakiwaacha wasichana kutoka Tanzania wakiwa solemba.

download latest music    

Gumzo ili limekuwa la muda mregfu kuwa kwanini wasanii wa kiume kutoka tanzania wamekuwa kaitika mahusiano na wasichana kutoka nje ya tanzania huku kukiwa hakuna majibu kuhusu hilo, na zaidi sana ni kwamba mahusiano hayo yanakuwa ya uhakika mpaka kufikia hatua ya kufunga ndoa.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.