Bibi Harusi Wa Ben Kinyaiya Azua Kizaazaa

Siku ya jumamosi Mtangazaji mkongwe wa televisheni Ben Kinyaiya alifunga ndoa na ya kiserikali na mwanamke ambaye anatajwa kuwa mchumba wake wa siku nyingi baada ya picha zao kuonekano katika mtandao wa kijamii siku ya jana.

Mara Baada ya picha hizo za hatusi kusambaa kwenye Mitandao ya kijamii mara moja maneno yaliibuka kutokana na muonekano wa bibiharusi ambapo wapo waliodai kuwa mwanamke huyo ni mtu mzima kuliko Ben Kinyaiya ‘Shuga Mama’.

download latest music    

Lakini pia kuna maneno yaliyosambaa kuwa huenda harusi hiyo ilikuwa ni muvi kwani mashabiki hawakuamini kuwa mwanamke yule Ndiye mke mtarajiwa wa staa huyo.

Hizi ni baadhi ya picha za harusi zinzaowaonyesha maharusi hao wakifurahia siku yao maalumu:

.
.
.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.