Bill Nas Adai Kuwa Video Ya Ngono Na Nandy Haikuathiri Mahusiano Yake

Staa wa muziki wa Bongo fleva Bill Nas amefunguka na kusema pamoja na kwamba video yake ya ngono na Nandy ilivuja lakini mahusiano yake hayajavunjika.

Miezi michache iliyopita Bill Nas na Nandy walikumbwa na masahibu mazito baada ya video yao ikiyowaonyesha wakiwa faragha kuvuja Kwenye mitandao ya kijamii.

download latest music    

Lakini Bill Nas anaiambia Bongo 5 kuwa pamoja na video hiyo chafu kuvuja na kuonekana na dunia nzima mpenzi wake hakumuacha bali alizidi kuwa katibu naye katika kipindi hiko:

Hapana sijaaachana na mpenzi wangu nipo naye hadi sasa na ndio mtu pekee nilikuwa nawasiliana naye kila saa. She is very clever anajielewa, alitazama kwanza, alijua, akaangalia ni kwa namna gani anaweza kujenga kuliko kuharibu zaidi”.

Lakini na kwa upande wa Nandy pia Hivi karibuni akiwa katika media tour nchini Kenya alisema kuwa Boyfriend wake amemkataza kuzungumzia suala hilo ila bado penzi lao linaendelea na hali kuvunjika kwa skendo ile.

Nandy na Billnas pia wamesisitiza kuwa wameendelea kuoa marafiki na kuweka skendo ile nyuma.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.