Billnas Atangaza Kufunga Ndoa Mwakani

Mwanamuziki wa Bongo fleva William maarufu kama Billnas amefunguka na kutangaza nia yake ya kufunga ndoa mwakani.

Billnas amekuwa Kwenye headlines sana wiki tatu hizi kuanzia kuhit kwa wimbo wake wa ‘Tagi bovu’ mpaka skendo yake ya video ya utupu na msanii mwenzake Nandy.

download latest music    

Billnas amerudi Kwenye headlines baada ya kutangaza kuwa ana mpango wa kuoa mwakani na kusisitiza kuwa uwezo wa kuoa anao.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Billnas aliweka wazi mipango yake ya kufunga ndoa ndipo msanii mwenzake Chege alipomjibu na kumwambia woe mara ngapi maana amekwisha oa:

Mwakani nisipofunga ndoa sio mimi…. Yaani mimi nisioe kweli???”.

Uamuzj huu wa Billnas umekuja baada ya kuhudhuria ndoa ya msanii mwenzake wa Bongo fleva Ali Kiba.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.