Billnass Alia na Mafisadi wa Mitandaoni.

Mwanamuziki Billnass ameonyeshwa kusikitika kwake na tabia ya baadhi ya watu wanaoharibu muziki wa nchini kwa kuwahujumu katika mitandao, hayo yamekuja baada ya billnass kuachia ngoma yake mabayo kwa upande wake anasema kwamba hakuwa hata na masaa mengi katika mtandao wa you tube lakini kitu cha ajabu ni baada ya ngoma hiyo kufutwa kabia katika mtandao huo.

Billnass ambae ametoa wimbo wa LABDA hivi karibuni na ulikuwa umeanza kupendwa na mashabiki anasema kwamba umefutwa katika akaunti ya you tube na kumfanya akose amani na imani na muziki wa tanzania.

download latest music    

Bilnass amabe anasema kuwa hakuwahi kufanya kazi ya muziki kwa mashindani na amekuwa akisapoti kazi za wengne inamuuma  sana anapoona kuwa watu wamekaa kwa ajili  kuangamiza soko la muziki.

kitendo cha video yangu ku0hackiwa na kufutwa you tube kimeniuzi sana,video yangu hata haikuwa na umri wa masaa mengi na viewers wenyewe wala sio wengi kiivyo , ndio imeanza kuingia katika trending lakini watu wenye roho mbaya wamefanya hivyo.sijawahi kufanya muziki kwa mashindano namuda wote nimekuwa nikifanya kazi za wenzangu  na pia nimekuwa nikitoa nyimbo kwa muda mrefu sana nikiamini kiloa mtu ana muda wake …nafanya kazi ya kujikwamua na umasikini wangu na kukuza karama yangu aliyonipa mwenyezi Mungu ,…sidhani kama roho kama hizi zinzweza kukuza tasnia…imeniumiza sana , imetisha sana kama muziki wetu umefikia huku.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.