Birthday Ya Diamond Yafunika (Matukio Katika Picha)

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platinumz jana usiku alifanya private party akijumuika na baadhi ya wanafamilia wake, wafanyakazi wenzake, ndugu , jamaa na marafiki katika ukumbi wa Hyatt Regency uliopo jijini Dar Es Salaam.

Na hizi ni baadhi ya picha zilionyesha jinsi alivyosherekea sherehe hiyo,

download latest music    

Diamond akimlisha mama yake mzazi cake

B-Dozen nae alikuwepo kama mtu wa karibu katika kujuika pamoja na wanandugu katika shughuli iyo.

Vinywaji pia viliweza kupendezesha meza ukumbini hapo

Diamond akiwa na bodyguard wake muda wa maakuli.

Queen Darling akiwa pamaoja na  Beka Flavour.

Meneja wa Diamond sallam k akifurahia jambo aakiwa pamoja na Diamond

Hata hivyo kabla Diamond ajaaanza party hiyo ya usiku alikwenda kutembelea katika hospitali  ya Amana aliyozaliwa iliyopo Ilala jijini hapo na kutoa msaada kwa wagonjwa wenye thamani ya million 4 ili kuweza kusaidia wagonjwa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.