Bodyguard wa Diamond Apata Ajali na Kupasuka Kichwani.

Body guard wa msanii mkubwa bongo mwarabu fighter amepata ajali katika maeneo ya Mbezi Afrikana alfajiri ya leo na kuumia  maeneo ya kichwa na kuwahishwa haraka  hospitali ya Lugalo ii kupatiwa huduma ya kwanza ambapo baada ya hapo mgonjwa huyo aliwahishwa na  gari la wagonjwa na kupelekwa hospitali ya Muhimbili.

Hata hivyo Mwarabu anasema kwa sasa anaendelea vizuri na anawashukuru watu wote waliojitokeza kumsaidia katika kpind alichokuwa amepata ajali hiyo,akiongea na waandishi wa habari akiwa hospitalini hapo Mwarabu Fighter anasema

download latest music    

namshukuru mungu sana mpaka hapa sasa hivi maana madaktari wamenipigania sana m ilikuwa alfajiri mida ya saa kumi na moja nilipoata ajali lakininalitokea msamaria mwema akanikimbiza  lugalo na kukutana na daktari alienipigania sana na mpka kuwekwa katika ambulance na kufikishwa hapa na kama mnavyoona hapa kumekuwa na huduma nzuri sana tangu nimefika”

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.