Bodyguard wa Diamond Apata Ajali na Kupasuka Kichwani.
Body guard wa msanii mkubwa bongo mwarabu fighter amepata ajali katika maeneo ya Mbezi Afrikana alfajiri ya leo na kuumia maeneo ya kichwa na kuwahishwa haraka hospitali ya Lugalo ii kupatiwa huduma ya kwanza ambapo baada ya hapo mgonjwa huyo aliwahishwa na gari la wagonjwa na kupelekwa hospitali ya Muhimbili.
Hata hivyo Mwarabu anasema kwa sasa anaendelea vizuri na anawashukuru watu wote waliojitokeza kumsaidia katika kpind alichokuwa amepata ajali hiyo,akiongea na waandishi wa habari akiwa hospitalini hapo Mwarabu Fighter anasema
“namshukuru mungu sana mpaka hapa sasa hivi maana madaktari wamenipigania sana m ilikuwa alfajiri mida ya saa kumi na moja nilipoata ajali lakininalitokea msamaria mwema akanikimbiza lugalo na kukutana na daktari alienipigania sana na mpka kuwekwa katika ambulance na kufikishwa hapa na kama mnavyoona hapa kumekuwa na huduma nzuri sana tangu nimefika”