Calisah Awaita Wachora Tatoo za Wapenzi WaoWashamba wa Mtwara.

Mwanamitindo Calisah  amefunguka na kusema kuwa katika maisha yake hawezi kufanya ujinga wa kujichora tatoo ya jina la mwanamke aliyenae katika mahusiano eti ikiwa kamanjia mojawapo ya kumuonyesha kuwa anampenda sana.

Akiongea na moja ya waandishi, Calisah anasema kuwa kumekuwa na tabia ya watu kujichora tatoo za watu walionao katika mahusiano lakini kwa upande wake hiyo ni kama ushamba na amewaita watu hao washamba kama wamakonde kutoka mtwara.

download latest music    

Hii inaweza kuzua gumzo hasa kwa sababu amewataja kabisa na watu anaowafananisha nao lakini hayo ni maoni yake calisah.

Mwanamitido huyo hapa karibuni aliwahi kutangaza kuwa na kampuni inayohusika na kwa bebesha wanawake mimba .

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.