Casto Aomba Maamuzi yake Yaheshimiwe kwa Tunda.

Mtangazaji wa clouds media , Casto Dickson Amfunguka na kuwaomba watu wanaomsema na kumshangaa kwanini ana mpenda sana tunda wamuache na kuheshimu sana maamub=zi yake kwa sababu hapo ndipo alipofikia na ana mapenzi ya dhati na mwanadada tunda.

Akiandika katika ukurasa wake wa instagram, casto anasema kuwa tunda ndie mwanamke anampa ratiba zake za kila siku katika kazi zake katika maish yao.

download latest music    

respect my choice, she is the one who tells me casto its time to job,casto una ahadi ya kikao sehemu,unatakiwa kwenda kwenye hiki na hiki ila nyie majiran hamjui,yaacheni ya moyoni yabaki ya moyoni, nawaheshimu na nina wapenda sana, i love you mmachame wangu,

Tangu mahusiano ya catso na tunda yameanza kwa zaidi ya miezi sita sasa, mashabiki wamekuwa wakimsema sanacasto hasa kutokana na yale aliyowahi kuyafanya nyuma tunda, hata hivyo anachoamini casto kwa mwanamke wake ni kwamba hayuko kama zamani .

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.