CCM ni Mwakilishi wa Serikali ya Tanzania.;-Steve Nyerere

Msanii Steve Nyerere amefunguka na kusema kwa ufupi kile kilichowafnaya wasanii wakaweza kuktana na  mh polepole katika ukumbi wa serena hotel siku ya jana.msanii huyu anasema kuwa lengo kubwa ilikuwa ni kuajdili changamoto za sanaa hasa kuangalia jinsi gani wasanii wanaweza kunufaika na kile wanachokifanya.

Steve anasema kuwa kazi zimekuwa zikiwafikia mshabiki ambao ni walengwa lakini hakuna manufaa zaidi na wasanii wamechoka na kufubaa kwa sababu hakuna faida ya kile wanachokifanya,

download latest music    

tulikuwa tunajadili mfumo wa kazi zetu ulivyo, na tulikuwa tunaangalia kuwa inawezekanaje kazi zinafika kwa mashabiki lakini wanaofanya kazi wanadhoofika.

Steve anasema pia anajua kuna watu watakaobezwa kwa sababu kikao kimefanywa na viongozi wa CCM lakini hawatajali kwa sababu wanachoamini ni kuwa CCM ndio mwakilkishi wa serikali kwa sababu serikali inaongozwa na CCM.

hatutajali kwa wale wanaobeza kwa sababu serikali inaongozwa na na ni chama hivyo wanaoona kuwa tumeitwa na  chama basi shauri zao.chama cha ni mapinduzi ni mwakilishi wa serikali kwa sababu Jamhuli ya Muungano wa Tanzania inaongozwa na CCM.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.