Chege awashirikisha Ray C na Sanaipei kwenye wimbo wake mpya-Najiuliza

Chege ameamua kuwachia nyimbo mpya ambayo inawazingua mashabiki wake baada ya kuwashirikisha warembo, Ray C na Sanaipei Tande kutoka Kenya.

Watatu hao wamejiunga kwenye wimbo unaozungumzia mapenzi huku Ray C na Sanaipei wakiomuomba Chege achungue mrembo anayemtaka.

download latest music    

Wimbo huu unalenga mambo ambayo wanaume na wanawaka wengi hupitia. Video hiyo imetengenezwa na Kwetu Studio. Itazame hapa

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua