Chemical- Sipendi Kabisa Kutumia Kinga

Msanii wa Bongo fleva Claudia Lubalo maarufu kwa Jina la usanii kama Chemical amefunguka na kudai kuwa yeye sio mpenzi kabisa wa kutumia kinga.

Chemical amefunguka hayo Kwenye mahojiano aliyofanya na kipindi cha Kikaangoni cha East Africa Tv ambapo amesema wazi akishriki Kwenye tendo la ndoa huwa hapendi kutumia kondomu.

download latest music    

Mara ya mwisho kutumia kinga wakati nafanya mapenzi ni muda kidogo, Ilan kiukweli mimi huwa sio shabiki wa kinga kabisa. Mambo ya kinga kinga mimi Hapana ndiyo maana napenda sana kuwa na mtu aliyetulia”.

Chemical alifunguka hayo alipoulizwa na mtangazaji wa kipindi hiko Ataje mara ya mwisho ametumia kondomu.

Lakini pia Chemical alisisitiza kuwa kwa kuwa hapendi kutumia kinga hivyo njia yake pekee ya kujihahakikishia usalama wake ni kuwa na mpenzi mmoj mwaminifu.

Chemical ameweka wazi kuwa kwa sasa hana mpenzi kwani ameamua kuwa mwenyewe na kuyajenga maisha yake kwanza.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.