Chid Benz Afungukia Skendo Yake na Madawa Ya Kulevya

Mwanamuziki mkongwe wa Bongo fleva Chid Benz amefunguka na kuongelea skendo yake ambayo imekuwa ikimzunguka kwa miaka kadhaa sasa ya kutumia madawa ya kulevya aina ya cocaine na heroine.

Chid Benz ameongelewa sana kwa miaka hii ya karibuni kutokana na matumizi yake ya madawa ya kulevya na imperial Miezi michache tangu akamatwe mkoani Dodoma na jeshi la polisi akiwa amebeba madawa aina ya Heroine.

download latest music    

Kwenye Interview aliyofanya hivi karibuni na kitu kimoja cha habari Chid Benzi aliulizwa kuhusu mipango yake ya kuacha kutumia madawa ya kulevya na kama ilivyo kwa muathirika yoyote wa madawa alitafuta visingizio:

Kuna muda ambao umefika siwezi kusema kuwa naacha madawa ya kulevya! Nataka kusema mimi nyie mniambie Chid leta ngoma sio nikikaa huko mnasema navuta tu sio sawa”.

Lakini pia Chid Benz alimpa maneno msanii mwenzake Ney wa Mitego na kumtaka atafute aina nyingine ya mziki wa kufanya na huu anaofanya sahivi wa kutafuta kiki awaachie madogo kama Billnas.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.