Chini Bees amjibu Chid Benz baada ya kumchana

Baada ya Chid Benz kumwambia msanii mwenzake Chin Bees awembunifu na kutafuta jina lingine…. Chin Bees ameamua kumjibu mwenzake.

download latest music    

Wawili hawa ambao wanaonekana kuwa na beef kutokana na kufanana kwa majina yao, uenda wakakosana baada ya Chin Bees kusema kuwa hawezi kubadilisha jina ili kumkwepa Chid Benz.

 

Akizungumza kwenye mahojiano na E-News ya EATV, Chin Bees ambaye ni mmoja wa wasanii wanaotamba kupiti nyimbo zake za bongo Fleva aliweka wazi kuwa hana mipango ya kubadilisha jina kwa kuwa hata yafanani. Chin Bees alisema,

“Mimi siwezi kubadilisha jina kwa sababu ya Chid Benz kwa sababu halifananini, very different. Mimi nafanya muziki wangu, siwezi nikakaa nipiganie jina, hivyo bro kama anahitaji jina dah!, sidhani kama jina langu linaendana na lake  me am do my thing.”

Haya basi tutazame tuone watakachafanya sasa!

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua