Chuchu Hans Awajibu Wanaomsema Vibaya Kukaa na Ray Mwezi Huu wa Ramadhan

Mwanadada kutoka bongo movies Chuchu Hans amefunguka na kuwataka wanaomsema vibaya katika kipindi hiki cha Ramadhan kumuacha kufatilia mambo yake kwa sababu maswala ya ndani ya ndoa wao hawawahusu.

Akijibu tuhuma wanazomzushia watu kuwa mwana dada huyo ambae yuko Afrika ya Kusini kwa ajili ya kushuti muvi kuhusu swala ya yeye kukaa chumba kimoja na mzazi mwenzie mwezi huu wa Ramadhani wakati katika dini hairuhusu kwa sababu hawajafunga ndoa , Chuchu anasema anaomba wamuache na mambo yake.

download latest music    

mimi ninachojua kuwa wa kumhukumu mtu ni mungu pekee, maana yeye ndio anajua kila kitu  na ukweli wote  kuhusu binadamu nawala sio mtu wa kawaida,ba hata nilivyo huku watu wanasema sana lakini mii sijali.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.