Chuchu Hans Awatolea Mapovu Mashabiki

Mwanadada Chuchu Hans kutoka kiwanda cha bongo movies amefunguka na kuwatolea povu mashabiki kwa kuwaambia kuwa waekuwa wakikosoa movies kila siku bila kujua undani wa  vitu hivyo.

wikiendi hii kuna picha ilipostiwa katika page nyingi za udaku zikimuonyesha  mwanadada huyo akiwa katika moja ya sehemu ya filamu zake akifanya kazi huku akiwa katika jeneza lakini akiwa hajafumba macho , picha iliyowafanya mashabiki weng kuongea na kuponda sana thamani ya bongo movies.

download latest music    

Sio kila kitu mnakuwa tu mankosoa hapa hii picha tulikuwa hata hatujaanza kushoot, nadhani muangalie na muvi na ndio mkosoe.

katika movie hiyo ambayo ipo jikoni, inaitwa Laura na pia yupo mwanadada anaefanya vizuri Esha Buheti, lakini hakuna kitu walichokiona  ambacho wao wanakiponda sio kweli, na movie hii ni ya kitambo kidogo na hata picha zake ziliwahi kuonyeshwa katika swahili world kwa ajili ya kuitangaza movie na haina vitu mabavyo mashabiki wamevipond.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.