Chuchu Hans :-Mashabiki Walilazimisha Penzi Langu na Ray

Mwanadada Chuchu Hans amefunguka na kuelezea kwa undani juu ya swala la kuachana kwake na mzazi mwenzie ambae  Ray kigosi ambapo hvi karibuni ziliibuka tetesi kuwa waili hao wameachana na kwamba Ray ameamua kumuachia nyumba mwanadada huyo.

Chuchu anasema kuwa kitu kikubwa wanayakiwa wat kujua ni kwamba wao hawakuwahi kuwa katika mahusiano lakini baada ya mashabiki kuzsha sana maneno wakaone isiwe tabu na kuamua kufanya kweli kama walivyotaka iwe.

download latest music    

Hata hivyo akiongea kwa hamaki kabisa, mwanadada huyo anasema kuwa sio kweli kuwa walikuwa wakiishi nyumba moja na ray  bali ray alimpangia nyumba pindi walipoingia katika mahusiano na alipopata mimba ya mtoto wake wa kiume.

Chuchu anasema kuwa watu wanatakiwa waelewe kuwa mashabiki ndio waliolazimisha pezi lake na ray na wala sio vinginevyo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.