Clouds Fm Yashika Nafasi ya Tatu Afrika

Moja ya Radio maarufu Tanzania clouds fm chii ya Clouds Media wameshika nafasi ya  tatu afrika ikiwa kama moja ya changamoto kubwa kwa radio nyingine  kubwa tanzania hasa kutokana na ukubwa wa radio hiyo na wafanyakazi pia.

Radio hiyo ambayo imetajwa kati ya aradio kubwa afrika,  imekuwa moja ya radio inayisikiliza sana maoni ya wasikilizaji na hata kujali sana kile kinachotoka kwa mashabiki na ndio maana imekuwa moja ya radio zinazosikilizwa sana na watu.

download latest music    

Mahabiki wameipongeza sana radio hiyo pamoja na kwamba kwa sasa kumekuwa na sintofahamu kuhusu hali ya bosi ya media hiyo bwana RUGE MUTAHABA kutokana na kuwa amekuwa akiripotiwa kuumwa.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.