Dalili ya Kwanza ya Superstar Hapokei Simu:Divva.

Mwanadada anaetamba na kazi yake ya utangazaji wa kipindi pendwa kwa vijana cha ala za roho,Divva the Bawse amefunguka na kuongelea kwa undani kitu kikubwa ambacho hakipendi kwa wasanii wa bongo.Diva anasema kuwa wasanii wengi wa bongo wamekuwa wakijidai sana baada ya kupata jina na kuridhika kabisa  na kitu hicho.

Sipendi kuona wasanii wengi wanaojiona kuwa wamefika , wakishapata jina kidogo tu wanajiona wakubwa na wamefika wanapopataka.

lazima mtu akubali kujifunza kila siku.lazima kila siku u-focus kufanya kitu bora na bora zaidi, kwaio usijione umefika.

kuna wasanii ukimtafuta kwa simu hapokei kabisa,unamtafuta ili kufanya nae press kwa faida yae lakini hapokei wala hakujulishi.sasa wasanii wa hivyo akija baadae akinitafuta au kunipigia na mimi sipokei.akinitext siwajibu,muda mwingi unafanya hayo kwa ajili yake mimi tayari nishapata followers wengii, kwaio nfanya kwa ajili ya kukunufaisha wewe mwenyewe.Wanasemaga kuwa dalili kubwa ya superstar hapokei simu.

Hata hivyo Diva alisema kuwa yeye ni fan mkubwa wa Aslay kwa sababu ya nyimbo zake zimekuwa zikimvutia sana.

download latest music    

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.