Darassa CMG Arudi Kwenye Sanaa Baada Ya Kimya Kirefu

Msanii wa muziki wa Hip hop nchini na hitmaker wa ‘Muziki’ Darassa CMG ametangaza kurudi kwake kwa kishindo Baada ya kimya kirefu.

Baada ya kutoa ngoma kali kama ‘Muziki’, ‘Too much’ na nyinginezo Darassa aligubikwa na kimya kizito kilichosababisha kuibuka kwa tetesi mbali mbali ikiwemo kuhusishwa na madawa ya kulevya.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Darassa ameachia video hii kuashiria kurudi kwake kwenye gemu la Bongo fleva:

https://www.instagram.com/p/BrLMOQvHcHP/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1nmgqu6tsfhy9

Baada ya kuwa kimya sana tena ghafla kuna tetesi zilisambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa msanii huyo amejaaliwa kimya kutokana na kujihusisha na madawa ya kulevya taarifa alizozikana na kusisitiza kutokuwa na ukweli na kuweka wazi kuwa yeye yupo nyumbani akimlea Mtoto Wake.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.