Davido kusherekea Eid Tanzania.

Msanii mkubwa na mshindi wa tuzo nyingi Duniani, Davido anatarajiwa kutumbuiza siku ya sikukuu ya Eid itakayofanyika Duniani kote ikiwa ni mwisho wa mfungo wa Ramadhani ulioanza mwezi uliopita.Mwanamuziki huyo ambae atatumbuiza katika ukumbi wa King Solomoni jijini Dar Es Salaam.

Akiongea katika uzinduzi wa Sheba wa The Mafik uliofanyika katika ukumbi wa the next door jijini Dar , bosi wa kundi hilo aliwaambia mashabiki wake kwamba wakae mkaa wa kula kwa sababu anampango wa kumleta Davido katika sikukuu hiyo.

download latest music    

Hata hivyo bosi huyo hakuweka wazi show hiyo itafanyika  vipi lakini aliwatia hamasa watu na mashabiki wake na wamekaa mkao wa kula kusbiria show hiyo kubwa , ukizingatia na ukubwa wa msanii huyo wa  Afrika.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.