Dayna Nyange Ajutia Safari Yake Ya Ulaya

Msanii wa muziki wa Bongo fleva ambaye pia nddiye hit maker wa ‘Mafungu Ya Nyaya’ Dayna Nyange ameweka wazi kuwa kati ya vitu ambavyo anajutia ni kusafiri kwenda Ulaya.

Dayna ambaye alikuwa kimya kwa muda mrefu amebainisha kuwa kutokana na kuishi nje ya nchi kwa muda mrefu ilibidi asimamishe shughuli zake za kimuziki.

download latest music    

Kwenye mahojiano yake na Global Publishers, Dayna alisema, alipata nafasi ya kutembelea baadhi ya nchi ikiwemo Marekani na nchi nyingine za Afrika kidogo na kukaa huko kwa zaidi ya miezi miwili bila kujihusisha na muziki wake jambo lililomfanya kupata wakati mgumu kuanza tena gemu.

Nimejifunza mengi na najuta kutumia muda mrefu Ulaya, nimeachia Wimbo wa Salama lakini mapokezi yake si makubwa sana kama ilivyo nyimbo zangu nyingine na hii ni kwa sababu mashabiki walianza kunisahau“.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.