Dayna:Nilipopta Mimba Nikajua Kuwa Nina Malaria.

Mwanadada ambae kwa sasa amekuja na project yake mpya ya wimbo wa salesale, amefunguka na kuelezea historia yake ya mimba yake ya kwanza ambapo mtoto huyo hivi sasa ana umri wa miaka 11.

Dayna ameyaongea hayo jana alipokuwa Clouds Radio katika kipindi cha XXL cha Clouds Tv,Dayna anasema hayo alipokuwa amekwenda kwa ajili ya kutambulisha wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la salesale ambao ameuachia siku hiyo.

download latest music    

Dayna pia akijibu tetesi zinazoendelea kuhusu yeye kuwa mjamzito alisikika akisema kuwa kwa sasa yeey sio mjamzito ila tu picha aliyotuma  ikimuonyesha ana kitumbo kikubwa na kuzua mjadala wa yeye kuwa na mimba ilikuwa ni shibe tu na sio kingine.

Hata hivyo Dayna ansema kuwa kitu anachokumbuka kuhusu ujauzito ni katika mimba yake ya kwanza ambayo aliiata akiwa na umri wa miaka 18 huko miaka ya nyuma ambapo alipokuwa akiumwa alihisi kuwa ni malaria na nyumbani kwao walimwambia kuwa inabidi aende kupima malaria na ndipo alipokwenda na kurudisha majibu nyumbani.

nilipopata mimba sikuwa hata najua juu ya hilo, nilihisi ninaumwa malaria hivyo niliambiwa kuwa nikapim hospitali, na ile karatsai ya majibu niliyopewa nikaambiwa niipeleke nyumbani ndipo nilipoenda na kumpa dada yangu na kumbe nilikwa nina ujauzito.

Dayna anasema kuwa anatamani san amtoto wake afike mbali kielimu kwa sababu yeye hakubahatika kupata elimu ya sekondari.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.