Diamond aagiza tani 100 za karanga kutoka kwa wakulima

Staa wa Wasafi Diamond Platnumz anapanua biashara yake ya karanga. Hit maker huyo wa ‘Eneka’ ameagiza tani 100 ya karanga kutoka kwa wakulima nchini.

Diamond alitoa ombi hilo kupitia account yake ya Instagram:

download latest music    

FURSA KWA NDUGU ZANGU WAKULIMA WA KARANGA…. sasa waweza kutuuzia karanga mbichi nyeupe zenye rangi ya kwenye picha hapo, Maarufu kama Super Quality Small size….

Kuna nafasi ya kununua hadi Karanga Tani mia moja (Tani 100) kwa kila Mwezi… Usafi na Ubora wa karanga zako ndio nguzo ya kwanza sisi kuweza kuzinunua karanga zako….Wasiliana nasi kwa namba hizi +255714993724 @diamondkaranga #NogewaJirambe ?? MAZINGATIO:

  1. Karanga ndogo Nyeupe (Super Quality Small Size)
  2. Ziwe Safi sana sana.
  3. Zifungwe katika ujazo wa kilo 20 kwa kiloba.
  4. Tunanunua kwa Bei kati ya tsh 2300 – tsh 2700 kwa kilo.
  5. Maitaji yetu ni tani 100 kwa mwezi.
  6. Piga simu: +255-714-993-724

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere